Muhtasari
Rais alilakiwa na waziri Fred Matiang'i huku naibu rais William Ruto akitazama
Mkutano unafanyika katika chuo cha mafuzo cha KWS Manyani
Mkutano uliongozwa na rais Kenyatta na kuhudhuriwa na naibu rais William Ruto
Rais Uhuru Kenyatta alilakiwa na waziri wa usalama wa ndani Fred Matiang'i na wala sio naibu rais William Ruto kama inavyostahili katika itifaki.