Wakwe wa Magoha wafanya tambiko za Kinigeria huku mwili ukitolewa Mochari (+picha)

Walitamka maneno fulani huku wakigonga gari la maiti.

Muhtasari

•Kitendo hicho kinasemekana cha kuwasafisha wafu kutokana na kinyongo chochote dhidi ya viumbe hai.

•Wanabendi ya Starehe boys na Starehe Girls waliimba wimbo wakisubiri mwili kuondoka.

Wacheza densi wa Eyo wacheza ngoma maalum ya kitamaduni inayohusishwa na wazee wa Nigeria. Magoha akiwa ametumia miaka 15 ya kazi yake ya awali nchini Nigeria na kuoa mwanamke wa Nigeria alichukuliwa kuwa mzee miongoni mwa Wanigeria.
Wacheza densi wa Eyo wacheza ngoma maalum ya kitamaduni inayohusishwa na wazee wa Nigeria. Magoha akiwa ametumia miaka 15 ya kazi yake ya awali nchini Nigeria na kuoa mwanamke wa Nigeria alichukuliwa kuwa mzee miongoni mwa Wanigeria.
Image: ENOS TECHE

Wakwe wa marehemu Profesa George Magoha kutoka Nigeria walicheza densi za kitamaduni kabla ya mwili huo kuwekwa kwenye gari la kubebea maita aina ya Mercedes siku ya Jumatano asubuhi.

Huku wakiwa wamevalia gauni nyeupe na kofia nyeupe zenye mabaka ya kijani, waliweka rungu kwenye gari la kubebea maiti na kutamka maneno fulani huku wakigonga limousine hiyo.

Magoha akiwa ametumia miaka 15 ya kazi yake ya awali nchini Nigeria na kuoa mwanamke wa Nigeria alichukuliwa kuwa mzee miongoni mwa Wanigeria.
Wacheza densi wa Eyo wacheza ngoma maalum ya kitamaduni inayohusishwa na wazee wa Nigeria. Magoha akiwa ametumia miaka 15 ya kazi yake ya awali nchini Nigeria na kuoa mwanamke wa Nigeria alichukuliwa kuwa mzee miongoni mwa Wanigeria.
Image: ENOS TECHE

Kitendo hicho kinasemekana cha kuwasafisha wafu kutokana na kinyongo chochote dhidi ya viumbe hai.

Nchini Nigeria, sherehe ya utakaso inakusudiwa kufanywa na wanaume wazee lakini kwa sababu wako Kenya, imefanywa na wavulana wadogo.

Bibi mwingine, aliyevalia mavazi ya buluu na kofia nyekundu, alionekana akigonga limo na kitu kinachofanana na feni.

Magoha akiwa ametumia miaka 15 ya maisha yake ya awali nchini Nigeria na kuoa mwanamke wa Nigeria alichukuliwa kuwa mzee miongoni mwa Wanigeria.
Wacheza densi wa Eyo wacheza ngoma maalum ya kitamaduni inayohusishwa na wazee wa Nigeria. Magoha akiwa ametumia miaka 15 ya maisha yake ya awali nchini Nigeria na kuoa mwanamke wa Nigeria alichukuliwa kuwa mzee miongoni mwa Wanigeria.
Image: ENOS TECHE

Nje ya chumba, walisimama marafiki na familia ya Magoha.

Wanabendi ya Starehe boys na Starehe Girls waliimba wimbo wakisubiri mwili kuondoka.

Msafara huo utapitia KNH, Baraza la Madaktari na Madaktari wa Meno la Kenya (KMPDC), KNEC, Shule ya Msingi ya St Georges, State House Girls, Chuo Kikuu cha Nairobi na hatimaye katika Kituo cha Starehe.

Hasa, hizi ni taasisi ambazo Magoha alifanya kazi nazo, alisomea na kuacha athari.

Magoha akiwa ametumia miaka 15 ya maisha yake ya awali nchini Nigeria na kuoa mwanamke wa Nigeria alichukuliwa kuwa mzee miongoni mwa Wanigeria.
Wacheza densi wa Eyo wacheza ngoma maalum ya kitamaduni inayohusishwa na wazee wa Nigeria. Magoha akiwa ametumia miaka 15 ya maisha yake ya awali nchini Nigeria na kuoa mwanamke wa Nigeria alichukuliwa kuwa mzee miongoni mwa Wanigeria.
Image: ENOS TECHE
Magoha akiwa ametumia miaka 15 ya maisha yake ya awali nchini Nigeria na kuoa mwanamke wa Nigeria alichukuliwa kuwa mzee miongoni mwa Wanigeria.
Wacheza densi wa Eyo wacheza ngoma maalum ya kitamaduni inayohusishwa na wazee wa Nigeria. Magoha akiwa ametumia miaka 15 ya maisha yake ya awali nchini Nigeria na kuoa mwanamke wa Nigeria alichukuliwa kuwa mzee miongoni mwa Wanigeria.
Image: ENOS TECHE
Wanafunzi wakimpa marehemu Magoha heshima za mwisho
Image: ENOS TECHE
Umma ukitazama mwili wa Magoha ukitolewa mochari
Image: ENOS TECHE