Muhtasari
•Umoja umesema kuwa watu wa jamii ya Kipsigis na Tailai communities na wengine wazawa walidhulumiwa na na kutendewa vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu ikiwemo mauaji, dhulma za kingono, kudhalilishwa, kuwekwa kizuizini kiholela, kuhamishwa kiholela na kunyimwa haki za faragha, maisha ya familia na mali.
•Sehemu kubwa ya ardhi katika eneo hilo sasa inamilikiwa na Uingereza na makampuni makubwa yakimataifa ya chai ikiwemo Findlay’s, Williamson Fine Tea na Unilever.