Muhtasari
- Katika ujumbe wenye agizo la rais Uhuru Kenyatta kuongeza muda wa kafyu Kinyua amesema visa hivyo ni kutoka sampuli 2,855
- Hakukuwa na vifo vilivyotokana na virusi hivyo katika saa 24 zilizopita .
Mkuu wa utumishi wa umma Joseph Kinyua amesema Kenya leo imesajili visa 124 vya Corona .
Katika ujumbe wenye agizo la rais Uhuru Kenyatta kuongeza muda wa kafyu Kinyua amesema visa hivyo ni kutoka sampuli 2,855
Jumla ya sampuli zilizopimwa tangu machi sasa ni 1,055,691 . Hakukuwa na vifo vilivyotokana na virusi hivyo katika saa 24 zilizopita . Idadi ya waliofariki inasalia kuwa 1,685