Muhtasari
- Hatua hiyo imechukuliwa huru wanafunzi wakijitayarisha kurejea shule kuanzia kesho jumatatu
- Rais uhuru Kenyatta awali alikuwa ameongeza muda wa kafyu hadi januri tarehe 3 .
Muda wa kutekelezwa kwa kafyu umezidishwa ,amesema waziri wa usalama wa ndani Fred Matiangi .
Hatua hiyo imechukuliwa huru wanafunzi wakijitayarisha kurejea shule kuanzia kesho jumatatu
Rais uhuru Kenyatta awali alikuwa ameongeza muda wa kafyu hadi januri tarehe 3 .
Matiangi ameyatagaza hayo siku ya jumapili wakati mawaziri kadhaa walipowahutubiua wanahabari kuhusu matayarisho ya kufunguliwa kwa shule .
" Rais Leo asubuhi ametoa agizo rasmi kuongeza muda wa kafyu pamoja na kanuni nyingine za kukabiliana na maambukizi ya Corona’ Matiangi amesema