Muhtasari
- Kesho jumanne wanafunzi Zaidi wanatarajiwa kwenda shuleni kwani shule nyingi za kibinafasi zinafunguliwa tarehe 5
- Maelfu ya wanafunzi waliraukia kuripoti shuleni huku walimu na wasimamisi wa shule wakiharakisha kufanya matayarisho ya jinsi masomo yatakavyoendelea chini ya hali hiyo ngumu inayolenga kuzuia maambukizi ya Corona .
Shule zimefunguliwa siku ya jumatatu kote nchini huku wanafunzi katika baadhi ya shule hizo wakilazimika kusomeshwa nje chini ya miti na mahema ili kuhakikisha kwamba hapana mirundiko madarasani katika siku ya kwanz aya kurejea shuleni tangu zilipofungwa mwezi machi kwa ajili ya Corona
Maelfu ya wanafunzi waliraukia kuripoti shuleni huku walimu na wasimamisi wa shule wakiharakisha kufanya matayarisho ya jinsi masomo yatakavyoendelea chini ya hali hiyo ngumu inayolenga kuzuia maambukizi ya Corona .
Kesho jumanne wanafunzi zaidi wanatarajiwa kwenda shuleni kwani shule nyingi za kibinafasi zinafunguliwa tarehe 5 .Huu hapa msururu wa picha zinazoonyesha hali ilivyokuwa katika shule mbali mbali kote Kenya