- Leo watu 66 wamepona ugonjwa huo na kufikisha 83,757 idadi ya waliopona Corona .
- Watu wawili wameaga dunia na kufikisha 1,753 idadi ya waliofariki kwa ajili ya ugonjwa huo.
Watu 99 wamepatikana na virusi vya Corona baada ya sampuli 4,758 kupimwa katika saa 24 zilizopita. Jumla ya visa vya ugonjwa huo sasa vimefika 100,422.idadi ya sampuli zilizopimwa sasa ni 1,172,167 .
Kutoka visa hivyo 99 vilivyoripotiwa 80 ni wakenya ilhali 19 ni raia wa kigeni .62 ni wanaume ilhali 37 ni wanawake mgonjwa wa umri wa chini ana miaka mitano ilhali aliye na umri wa juu ana miaka 88 .
Leo watu 66 wamepona ugonjwa huo na kufikisha 83,757 idadi ya waliopona Corona .
Watu wawili wameaga dunia na kufikisha 1,753 idadi ya waliofariki kwa ajili ya ugonjwa huo.
Kuna wagonjwa 476 ambao wamelazwa katika hospitali mbali mbali nchini ilhali 1,363 wapo chini ya mpango wa utunzi wa nyumbani .Wagonjwa 28 wapo ICU ilhali 5 wapo katika kitengo cha HDU