Tarehe kumi na saba mwezi wa tano huwa muhimu sana kwa Wakenya kwani kwa kawaida kuwa wameitambua kama siku halisi ya ‘Stella’ kurudi Kenya kutoka nchi ya Japani alikokuwa ameenda kusoma.
Imekuwa kawaida Wakenya kuadhimisha ile siku ile kila mwaka kana kwamba ni sikukuu. Kilichojitokeza sana mwaka huu, Wakenya walionekana kushauriana kuhusiana na hadithi ya Stella.
Kwa wimbo Stella aliouimba Freshly Mwamburi mwakani 1992 anaeleza mshangao ambao ulimpata baada ya kukuona aliyekuwa mpenzi wake akishuka ndege huku amebeba mtoto na akiwa ameandamana na mpenzi wake Mjapani.
17th may the day stellah came back #zilizopendwa #fresheleymwamburi
“Nilivyompenda Stella jamani, kajitolea kwa roho moja,
nikauza shamba langu, sababu yake yeye,
Nikauza gari langu, sababu yake yeye,
Nikauza Ng'ombe na mbuzi, sababu yake yeye,
Ili apate nauli yake na pesa nyingine za matumizi, kule Japani eeh” Mwamburi alieleza aliyomfanyia Stella ambaye alimteka baada ya kuenda Ng’ambo.
Hata baada ya machungu aliyomsababishia Stella, kwa wimbo huo Mwamburi bado anamuomba mpenzi wake kumrudia kwani bado yuampenda.
Siku ya Jumatatu Wakenya walijitosa mtandaoni kutoa hisia zao kuhusu wimbo Stella huku kwa upande mmoja wengine wakishauri wanaume dhidi ya kujitoa muhanga ili kufurahisha wanawake na upande mwingine wengine wakiwasuta wanaume wanafanya makuu ili wanawake wawapende.
“Kauli ya Stella ni funzo kuu kuwa wanawake hawajali kamwe kuhusu kujitolea kwa wanaume!” @_fels1 aliandika kwenye mtandao wa Twitter.
@hylinne aliandika “Stella wangu ni wimbo wa kimapenzi na chuki zote pamoja. Funzo kuu ni usimlipie yeyote karo kwa jina la mapenzi. Wajibika kwa watoto wako, ndugu na familia yako tu. Wengine watakuvunja moyo”
Hata hivyo, wengine walionekana kutetea tendo la Stella
@Anita_Wangarii aliandika “Kauli ya Mwamburi ni funzo lilitolewa vizuri. Wanaume msiwai lipia wanawake karo, bili na nauli za ndege mkingoja mapenzi”
Hizi hapa baadhi ya hisia za Wakenya.
Freshly Mwamburi was our first ever victim of women eating fare. His wasn't just for matatu, Uber,bike or bus but fare ya ndege after selling his property to take Stella for studies abroad. Men beware of this gender, they will eat you till broke and move on. A good song it's. pic.twitter.com/cWOyabwHr7
— MZEE KIBOR PATRON (@MzeeKiborr) May 17, 2021
Paying for someone's education doesn't guarantee a happy ending.
— Mildred Bii (@MildredBii) May 17, 2021
Even if Stella came back alone, they would have broken up eventually.
Freshly Mwamburi Mutahi Ngunyi Munya
Mount Kenya University pic.twitter.com/QYecsQH7sJ
The story of Stella and Freshly Mwamburi is one of the greatest lessons that women don't care about a man's sacrifices. They DESERVE LESS!
— Ja Loka (@_fels1) May 17, 2021
Men don't ever pay fees,bills or flights for a girl expecting love in return...
— WANGARI ANITA™🇰🇪 (@Anita_Wangarii) May 17, 2021
Story ya stella be a lesson learnt well.... Freshly mwamburi
Stella is about to trend. Lakini si Freshly Mwamburi aliona siku refu.
— Gerald Ngao 🇰🇪 (@geraldngaopk) May 16, 2021
Anyway Boychild usilipie any girl School fees with an intention to marry her.
Wakenya walitoa hisia zao mbalimbali wakilinganisha hadithi ya Mwamburi na madai ya wanawake kula nauli walizotumiwa na wanaume, tukio ambalo limekuwa maarufu nchini kwa muda sasa.
Wengine walionekana kutumia siku hiyo kutengeza chapisho za ucheshi almaarufu kama ‘Memes’ zinazohusu hadithi ya Mwamburi na Stella.
Freshly Mwamburi receiving Stella Wangu with her Japanese boyfriend and a Kid at JKIA pic.twitter.com/2nf14wBlDf
— It's JN Shine™ (@JohnNgeru) May 17, 2021
Freshly Mwamburi and his squad after spotting Stella 😂😂 pic.twitter.com/7fUuMLdUK3
— Elvo Elvis (@elvo_mudamba) May 17, 2021
Freshly mwamburi after seeing Stella pale kwa airport ...she did him dirty walai😩 pic.twitter.com/ZyMbk5Ui9F
— Deon giddy (@_gmutua) May 17, 2021
Uncle Kilinda, Baziri mwa Kolomba and family waiting for Freshly Mwamburi to come back with Stella. pic.twitter.com/ilVtrFcqXP
— °°🧤 (@bhonke19) May 17, 2021