Muhtasari
•Matiang'i alichapisha siku hiyo kuwa sikukuu ya kuadhimisha Idd-Ul Adha kwenye gazeti rasmi la serikali.
Waziri wa maswala ya ndani Fred Matiang'i ametangaza siku ya Jumanne wiki ijayo, Julai 20 kuwa sikukuu.
Matiang'i alichapisha siku hiyo kuwa sikukuu ya kuadhimisha Idd-Ul Adha kwenye gazeti rasmi la serikali.
Sikukuu ya Eid-Ul-Adha ambayo husherehekewa kila mwaka ni sikukuu ya dhabihu na huwa ya kuadhimisha kujitolea kwa Ibrahimu kuutoa mwanawe kafara.