Muhtasari
• Ann Kananu Mwenda ambaye amekuwa akihudumu kama naibu gavana wa Nairobi hatimaye ameapishwa kuwa gavana wa kaunti hiyo.
• Kananu anatarajiwa kuhudumu kama gavana hadi mwisho wa kipindi cha sasa mwaka 2022.
• Gavana huyo sasa anatarajiwa kuteua naibu gavana ambaye uteuzi wake kisha utaidhinishwa na bunge la kaunti.