Muhtasari
• Akizungumza na wanahabari siku ya Jumanne, Sankok alisema ana kundi la mawakili walio tayari kuwasilisha kesi mahakamani kuhusu madai hayo ya uhaini.
• Wakati wa kiapo cha dhihaka 2017, Mwanasheria Mkuu wa wakati huo Githu Muigai alisema adhabu ya kufanya uhaini ni kifo.
• Miaka miwili baadaye, mahakama ilisema kuwa kuapishwa kwa Raila si haramu.