Muhtasari
• Mudavadi hajahudhuria mkutano muhimu mjini Naivasha unaotarajiwa kuafikiana kuhusu mpeperushaji bendera ya urais wa muungano wa Oka.
• Kutokuwepo kwa Musalia katika mkutano wa huo muhimu kumetia shaka kujitolea kwake kwa muungano huo (Oka) na kunaweza kuashiria kuporomoka kwa muungano huo.
• Vinara wengine Kalonzo Musyoka(Wiper), Moses Wetangula(Ford Kenya) na Gideon Moi wa Kanu kwa sasa wako Elmentaita.