Muhtasari
• Wanafunzi wawili walioibuka washindi katika mtihani wa KCPE 2022 ni Lewis Omondi na Robinson Fwaro. Wote wawili walipata alama 431.
Wanafunzi wawili walioibuka washindi katika mtihani wa KCPE 2022 ni Lewis Omondi na Robinson Fwaro. Wote wawili walipata alama 431.