logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Tanzania na Uenyekiti wa AU: Ikifika wakati muafaka tutasema- January Makamba

Aliyekuwa waziri mkuu na kinara wa upinzani Raila Odinga ametangaza ari ya kuania wadhifa huo.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri21 March 2024 - 12:34

Muhtasari


• Waziri Makamba alithibitisha kuwa mazungumzo bado yanaendelea miongoni mwa nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki.

Rais Samia Suluhu wa Tanzania

Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania January Makamba amesema kuwa mashauriano katika ukanda wa Afrika mashariki juu ya uenyekiti wa umoja wa Afrika unaendelea na ikifika wakati muafaka Tanzania itatoa kauli yake.

Makamba ameyesema hayo wakati wa mazungumzo maalum na mwandishi wa BBC Leornad Mubali.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved