Miezi kadhaa waliachana na aliyekuwa mpenzi wake Tanasha huku mengi yakisemwa kuwahusu, huku wengi wakimlaumu mama Dangote kwa mambo yote ambayo mwanawe amekuwa akiwafanyia wasichana wa wenyewe.
2.Kuendelea na maisha kama kawaida
Zari alipoona hamna maisha kati yake na Diamond alimtema kama takataka au kitu ambacho hakina maana
Hamisa akiwa katika mahojiano alisema hana haja ya kurudiana na Diamond, na hajapata mchumba wa kupendeza roho yake
Tanasha anajaribu kuendeleza maisha yake lakini machungu anayo bado ushauri wangu kwake ni endelea na maisha kama kawaida kama vile wale wengine wameendelea.
3.Wapeni watoto wenu maisha mema na chochote watakachotaka
Njia nyingine ya kumpa Diamond adabu ni hakikisheni watoto wenu wanaishi maisha ya kifahari na kuwapa ambacho wanataka katika maisha yao
Kupitia mitandao wa kijamii Zari huwa anawapa watoto wa Diamond maisha mema kamili
4. Kuweni na uchanya kila wakati
Watatu hao wakiwa na mafikira ya kusaidia kila wakati hamna kitu chochote ambacho kitawarudisha nyuma wala kuwafanya walie na kumfikiria Diamond.