'I was made to breastfeed my husband's snakes,' Confesses Kenyan Woman

One lady shocked the nation when she revealed that her then husband once made her lie down and breastfeed a giant snake, locally known as 'Omieri' in Siaya county.

Speaking to Radio Jambo's Massawe Japanni, the lady who did not disclose her name, narrated that her deadbeat husband's family rear snakes in their homestead which they use to conduct their unorthodox rituals.

She claims that one day she was informed that she would be receiving special visitors in her homestead only to realize that she was to host three large snakes. Her husband and his family then ordered her to lie down and while one snake released on her back, one was sulking her breasts. Eeeew!

This, according to her in-laws, was to be her daily routine. If that's not enough, she would then be feeding the animals with sugar free porridge and this, she was supposed to do while kneeling.

You think I made these stuff up? Well read her confession below.

Bwanangu tulipatana Bungoma hapo town na kando ya kukimbia usiku (night runner) na anakimbia watoto. Tulipata naye watoto wawili, mmoja ana miaka mitatu na kuna mmoja wa  mwaka mmoja na miezi sita.

Familia yake wana tabia ya kufuga nyoka zile aina za Omieri yenye humeza watu sehemu za Siaya county.

Nilipelekwa huko Massawe, nikakaa huko na sasa kitu ya kwanza nikaambiwa kuna mgeni anakuja na nisitorokee sasa nilidhani ni mgeni wa kawaida, nikaketi chini, sasa wale wageni walikuwa nyoka watatu.

Moja ikanitembelea kwa mgongo, hii nyingine ikaninyonya matiti na saa hizo mtoto bado alikuwa ananyonya. Ni kitu real ilinifanyikia na sasa nikatoroka huko. Niliambiwa eti mimi ndio ningekuwa nazipikia uji wa wimbi bila sukari na nikizipelekea napiga magoti.

Sasa nyoka ikaingia ikaninyonya matiti na huku nyingine ikanitembelea kwa mgongo, sasa nikakaa hapo tu nika hustle mpaka nikapata fare ndio nikatoka huko. Nilienda kwa kanisa na nikapeleka watoto wakaombewa.

Hizo vitu ziko na kuna makaburi ishirini na nane ambapo mwenye anakataa hayo maneno anauliwa.

Listen to the clip below.

&feature=youtu.be