Wimbo wake mpya ‘jeje’ umetazamwa na zaidi ya watu milioni tano katika youtube lakinia wanachkiona wengi ni uhusiano wake unaozidi kudhihirika na mrembo aliyeshirikwa katika video ya wimbo huo Malaika ,kutoka visiwa vya Reunion .Diamond ameiweka picha yake na Malaika mtandaoni akiwashukuru mashabiki wake kwa kumuunga mkono na kuenzi muziki wake. Ameandika ;
THANK YOU FOR CONTINUING TO MAKE #JEJE THE NUMBER ONE SONG…. STREAM / DOWNLOAD / WATCH & SHARE,’ HE CAPTIONED THE PHOTO ABOVE.
Katika posti nyingine aliweka picha yake na mrembo huyo pamoja na mistari kutoka kwa wimbo huo
I SWEAR YOUR LOVE GIVES ME FEVER…
ALL THE TIME YOU COME I DON DE SHIVER…
NA YOU WILL BE THE ONE JUS BELIEVE THAT, LADIVA, MY DIVA….
OOH YOU TURN BAD MAN TO SING NOW…
WITH YOUR SEX BODY CAROLINA…
FOR YOUR LOVE I GO FIGHT LIKE JOHN CENA…
HATA KAMA NIKIWA NGUVU SINA..
Diamond aliachwa na Tanasha siku chache baada ya wimbo wa Jeje kutolewa . Inadaiwa Tanasha amehofishwa na uhusiano wa karibu wa nmrembo huyo wa Jeje na Diamond na kuna uvumi kwamba huenda ndiye kipenzi kipya cha msanii huyo .