“ ULIMBAKA HUYU MTOTO .ULIMBAKA MARA KWA MARA’ amesema jaji Mcdonald
Kakake mwathiriwa alishuhudia Maraj alimdhulumu dadake na kawaambia maafisa wa shule yake .Nicki Minaj hakuwa kortini siku ya jumatatu ili kuwa na kakake mkubwa .Maraj aliiomba mahaama kumpa msamaha akisema kwamba hakuekeleza kitendo hicho .
“ NINGEPENDA KUOMBA RADHI KWA MACHUNGU NILIYOSABABISHA .NILIKUWA NA TATIZO LA KUNYWA POMBE KUPINDUKIA NA NAOMBA MSAMAHA KUTOKA KWA KORT’ Alisema Maraj .
Kabla ya hukumu hiyo kutolewa mwathiriwa ambaye ni binti yake wa kambo aliambia mahakama kwamba dhulma hizo zilimfanya kutaka kujiua .
“ SIKUFIKIRI NINGEMALIZA SIU KABLA YA KUPATWA NA KISA CHA KUTAKA KUJIANGAMIZA .NILIHISI KWAMBA SIKUWA NA SAUTI’
Jelani Maraj ameshtumiwa kwa kumbaka mara kadhaa binti yake wa kambo katika boma la familia ya Baldwin. Maraj alikanusha madai hayo akisema madai hayo ni wongo yaliyolenga kumpunja dadake Minaj,pesa .