Kazi ni kazi! Kutana na makahaba wajasiri wanaotengeza pesa mitandaoni(Picha)

Ukahaba kama kazi nyingine zote umeathiriwa na Coronavirus.

Wanaofanya kazi hiyo wamekuwa wakipata ugumu  kupata wateja na wengi  wamejipeleka karantini kama ilivyoagizwa na serikali. Wengi wapo nyumbani wakihofia kuambukizwa virusi vya COVID 19. Lakini kuna baadhi yao ambao wanatengeza kiasi kikubwa cha mpunga kwa sababu ya ujanja wa kutumia mitandao kuwapata wateja.

Kati ya maelfu wanaofanya kazi ya ukahaba ni wachache waliopata ujasiri wa kujitokeza wazi kusema kwamba hiyo ndio kazi wanayofanya ili kujikimu kimaisha. Wanapenda wanachofanya na hawafichi. Eddy aka mama G na Shiko Baibe  ndio walioweza kujitokeza wazi. Shiko,  alikulia katika mtaa wa ghetto huko Nyeri  na  alitaka kuwa daktari lakini mambo hayakumwendea vizuri na akajipata katika ukahaba.

Amesema ;

AFTER COMPLETING FORM FOUR I HAD KIDS AND LIFE BECAME UNBEARABLE. MY FRIENDS INTRODUCED ME TO PROSTITUTION. I’M PROUD OF WHAT I DO.’ SHE SAID IN AN INTERVIEW WITH MASSAWE JAPANNI

Mama G  anayetoka Kisumu  alitaka kuwa mwalimu lakini kwa sababu ya ukosefu wa kazi  aliamua kuuza mwili wake . Alipogundua kwamba yeye ni mpenzi wa jinsia moja alisema.

I USED TO BE ATTRACTED TO FELLOW MEN, THOUGH I HID IT BECAUSE OF MY BACKGROUND AS AN AFRICAN, MORE SO A KENYAN.

I DID THAT BUT IT REACHED A TIME THAT I COULD NO LONGER HIDE. I AM A SEX WORKER AND HAPPILY MARRIED WITH MY MAN IN THE HOUSE

Kama tu  mtu yeyote mama G amesema alitafuta kazi na hakupata na hivyo basi hajutii kujiingiza katika kazi hiyo

LIKE ANY OTHER JOB, SEX WORK IS ALSO WORK. AS MAMA G, WHO EARNS A LIVING FROM SEX WORK, I TAKE IT SERIOUSLY, AND DESPITE PEOPLE GIVING ME OTHER OPTIONS, WHICH I DON’T TAKE BECAUSE I APPRECIATE MY WORK SO MUCH AND THEREFORE I SEARCHED FOR IT, KAZI HUTAFUTWA HAIKUTAFUTI. FOR THE PAST 10 YEARS, I HAVE BEEN A SEX WORKER AND GETTING MY EARNING FROM THAT. A GOOD EARNING, INDEED,’ HE SAID IN A PREVIOUS MEDA INTERVIEW.

Kwa sasa ukahaba sasa umekuwa digital na wengi wanapata wateja wao mitandaoni na kupitia applications za simu ambapo watu hukutana.

WE HAVE GAY SITES WHERE WE MEET OUR GAY CLIENTS AND WE ALSO HAVE GAY CLUBS,’ MAMA G REVEALED.

Baadhi ya makahaba wanaishi maisha ya kifahari  na iwapo hujui kazi wanazofanya unaweza  kufikiri  wanapokea mishahara mizito katika afisi za  makampuni mazito ya Kenya hii. Picha zifuatazo ni za Mama G ambaye anaweza kuwafedhehesha baadhi ya maslayqueens.

Mhariri: Davis Ojiambo