Kijana mkenya aliyepotea apatikana baada ya usaidizi wa Roma

lost child
lost child

Kijana mkenya aliyepotea apatikana na kurudi kwao baada ya picha yake kuchapishwa kwenye mitandao ya kijamii ya timu ya Italia ya AS Roma.

Picha ya kijana huyu aliye na miaka kumi na mitatu (13) iliwekwa pamoja na picha ya Henrikh Mkhitaryan mchezaji aliyejiunga nao msimu huu kwa mkopo kutoka Arsenal.

Roma ilianza kampeni hii, mwezi wa saba

Henrikh Mkhitaryan

@HenrikhMkh

What a great news

AS Roma English

@ASRomaEN

Brilliant news!

klabu hii ya Arsenal iliungana na kampeni za kutafuta watoto  waliopotea nchini roma mwezi wa July.

children missing in Kenya

Henrikh Mkhitaryan alifunga mabao 4 kwa 2 siku ambayo mtoto huyu aliyepotea alipatikana.

Wakati ambao kundi hili la kutafuta watoto lilianzishwa, mkubwa wa Roma alisema kuwa wanataka kutumia mitandao ya kijamii kutafuta watoto kwa sababu ujumbe katika mitandao za kijamii husambaa kama moto nyikani.

"We want to use the viral nature of social media transfer announcements to help raise awareness for missing children."

''