Mchakato wa kutafuta miili ya maafisa waliosombwa na mafuriko imeanza

EW65pO1X0AAqkBD
EW65pO1X0AAqkBD
NA NICKSON TOSI

Shughuli ya kutafuta miili ya maafisa waliosombwa na mafuriko katika kaunti ya Baringo imeng'oa nanga katika mtoo Kagir.

Kufikia sasa miili 3 kati ya sababu iliyozama imepatikana .

tazma picha hizi

Maafisa hao wa usalama walisombwa na mafuriko hayo walipokuwa katika harakati za kulinda usalama.