Mcheshi Chipukeezy amewashangaza wafuasi wake kwenye mitandao baada ya kuonekana na gauni ya kufuzu
Wengi walishangaa kwani hawakujua kama huwa anasoma katika chuo kikuu cha Mount Kenya.
Chipukeezy anajulikana sana kwa tajriba ya kuchekesha watu.
Mastaa na wasanii walimpongeza kwa kuafikia lengo hii ya kufuzu na digrii.
Hata hivyo haijabainika ni digrii gani alikuwa anasomea na anwani ya kozi.
Tazama jumbe za mashabiki na marafiki:
Munene735 Macelebs ata hawasemangi course zenye wamegraduate😂😂
kings8461 Hii nikama wewe umejishonea🤣🤣🤣
kevo_musyo Enyewe mkamba Lazima aekwe Maua😂😂
opole_vincent Hii ni kununua gown, kuvaa na kupost nayo picha mbele ya gate ya shule😂😂😂 anyway congrats bro
Bravaon_Unaona vilee imekuwa ngumu kupatana Ni Kipchoge mpige picha ukamua kufanya cropping the same case applies to as kuwafikia wengine wenu😂😂