Muhtasari
• Diego Maradona alikuwa mchezaji mwerevu kupita kiasi.
• Umaarufu wake pekee haumtendei haki.
Umaarufu wake pekee haumtendei haki,. Diego Maradona alikuwa mchezaji mwerevu kupita kiasi katika uwanja wa mpira na mtu aliyezua utata.
Kutoka nchini anakotoka Argentina hadi ufanisi alioupata Itali, ushindi wake wa kombe la dunia na utumizi wa mihadarati uliomuangusha , tazama maisha yake katika picha.
BBC