logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Jinsi Man City inaweza Kuadhibiwa kwa Ukiukaji wa Kifedha

Uchunguzi wa klabu hiyo umedumu kwa miaka minne.

image
na Radio Jambo

Football07 February 2023 - 11:14

Muhtasari


•Mashtaka hayo yanahusiana na ukiukaji wa kanuni kwa misimu tisa kati ya 2009 na 2018, huku uchunguzi ukianza Desemba 2018.

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya EPL, Manchester City huenda wakafukuzwa kutoka kwenye ligi kuu ya EPL baada ya kupatikana na makosa zaidi ya 100 ya kukiuka masharti ya kifedha kwa muda mrefu.

Mashtaka hayo yanahusiana na ukiukaji wa kanuni kwa misimu tisa kati ya 2009 na 2018, huku uchunguzi ukianza Desemba 2018.

Uchunguzi wa klabu hiyo umedumu kwa miaka minne.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved