Ni picha ambayo iliwakumbusha wengi kuhusu mwendazake Ahmed na kisha kutoa maoni yao.
Mwanahabari huyo aliyekuwa anafanya kazi katika runinga ya KTN aliaga dunia Desemba 2015 na kuacha mjane mmoja na watoto wawili.
‘MEMORIES ARE MADE OF THIS 😊😊#TEAMKTNLEO."Lulu Aliandika.
Anne Ngugi naye hakuwachwa nyuma alikuwa na haya ya kuandika,
‘Hehe here I was quite massive oh quite a knowledgeable game changer team’
Naye Ali Manzu aliandika,
MUNGU AMREHEMU MAREHEMU DARU.
Mwanaisha Chidzuga alikuwa na haya ya kunakili
#LEGENDS..😍😍😍😍 🔥🔥🔥MUNGU AMREHEMU DARU
Mtangazaji wara diojambo Massawe Japanni naye alikuwa na haya ya kusema,
WOIYE DARWESH….
Hizi hapa baadhi za hisia tofauti za mashabiki wake Lulu Hassan;
fthkiki
Continue Rip darwesh…where did Anne ngugi go to?
shiksbett
Ahmed Darwesh may he continue resting
its_swamad
Mungu amueke Pema kwenye wema Ahmed darwesh.
sakyna1
Darwesh,Allah amsahilishie katika kaburi lake,amin. Aaaaaaaa watu wametoka mbali🙌🙌🙌🙌🙌🙌
iam.andy21
I really miss The late Ahmed darwesh he was my mentor in news broadcasting
stellalesirite
Oh my. I miss Darwesh. May his soul continue resting in peace. 💜
mashdabz
😂😂😂 We used to call u small gal at KTN lol watu hukua kweli.Darwesh😢😢 may his soul rest peaceful
ludravincent
Dah jameni hiyo picha yanikumbusha marehemu Ahmed dharwesh 🤧kumbukumbu nzito@loulou_hassan dah tabasamu bomba kila wakti