Sauti na muingilio wa ala za ngoma yake zinawiana vizuri na huenda ndio kitu kipya katika siku za hivi karibuni katika fani ya muziki nchini.Dantez, ni mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya Friends Bwake High School huko Trans Nzoia na anaimba nyimbo kama za Diamond lakini katika lugha ya kiingereza .Mtindo wake ni kama ule wa miondoko ya Rnb ya miaka ya 1990. Wimbo huo wake ambao umetiwa katika youtube wiki mbili zilizopita umetazamwa mara elfu mia moja
https://www.youtube.com/watch?time_continue=214&v=Kw5NH6dbDnE&feature=emb_logo
Wimbo wenyewe uliandikwa na Petra Music, na kuunganishwa na Mmarekani Jason Farmer kisha video ikapigwa na Enos Olik
Msanii huyo amesajiliwa na Maliza Umaskini Foundation na alikuuzwa na mamake pekee na katika mahojiano aliofanya hapo mbeleni alisema maisha yalinza kuwa magumu wakati babake alipoaga dunia mwaka wa 2014.
…LIFE BECAME UNBEARABLE. MY MOTHER COULD NOT AFFORD TO PROVIDE FOR US AND I RESORTED TO BEGGING. I MANAGED TO COLLECT SH3,000 AND RECORDED MY FIRST SONG MAWAZO, WHICH SUMMED UP ALL THE CHALLENGES MY FAMILY AND I WERE FACING.
Tazama majibu anayopokea kutokana na wimbo wake huo
Enzo Amore Back to the pure RnB era. Kudos
Shay Diva Hommy is a big tune
Racheal Wafula Great lovely, lyrics dopee
Bobby Mzito This is pure talent. Keep on Star