Sarakasi na ucheshi wa Akothe hautwahi kuisha hivi karibuni na sasa ameamua kuanza kutengeza njia ya kwenda Mbungini mapema kwa kumuomba mola msamaha mapema kwa ‘dhambi’ zake .
Jumapili msanii huyo aliwachekesha wengi mtandaoni kwa sala yake kwa mola akiandika ;
“Lord ! on this Sabbath day, if it’s my twerking and arrogance that has made you Angry or some other sins that I might have assumed, please find a place in your Kingdom to receive me, just as I am your Child. Please Lord delete their memories so they stop reminding me whatever I did in 1900, and walk me through the New pathway AMEN ”
Posti yake ilipokelewa vyema na mashabiki wake huku wengi wakipata tabasmu kutoka kwayo licha ya changamoto ya sasa ya kupambana na janga la virusi vya Corona .
Wiki jana yeye na Eric Omondi walifanya utani kuhusu kupata mtoto pamoja . lakini Akothe akasema ni mapena sana kwa wao wawili kupata mtoto .