Uvumi unazagaa kwamba Tanasha alipata habari kwamba Simba alikuwa yungali na tabia za kulala na wanawake wengine nje ya uhusiano wao na hata akathibitisha . Katika posti ya hasira Tanasha amemtaja Diamond kama ‘shetani’ na mtu ambaye hana utu ndani yake . Tazama .
Baada ya hapo alifungasha virago vyake na alikuwa akipanga kuondoka . inaibuka kwamba mamake Diamond Sandra hakumtaka Tanasha aondoke akiwa na mtoto wa Diamond Naseeb Junior .
Udaku kutoka Tanzania waarifu kwamba palitokea kizaazaa kati ya mama Dangote na Tanasha kuhusu mtoto huyo mwenye umri wa miezi mine . Aliandika baadaye katika mtandao
“TIME TO SAY GOODBYE & GOD BLESS YOU ALL.”
Tanasha kwa sasa yuko Nairobi na haijulikani endapo atawahi kusafiri tena kurudi Tanzania