Orodha ya patanisho 10 zilizogusa wakenya wengi

Mwezi wa Oktoba mwaka wa 2019, wanajambo walishuhudia patanisho bora zaidi ikilinganishwa na zingine mwaka uliopita.

Patanisho hiyo ilikuwa baina ya mwanadada kwa jina Agnes Njeri na mumewe bwana Basil Wafula.

Njeri alisema kuwa anasombwa na mawazo baada ya mumewe kudai kuwa atarudi kwao Uganda, na kumtenga baada ya wanawake kadhaa kumshambulia kupitia njia ya simu.

Njeri alisema anashangazwa kwani alidai kuwa alimpata Wafula akifanana na mwizi na kumgeuza, siku hizi anafananishwa na MCA.

Isitoshe nikimwambia anasema kuwa mimba ni ya babangu ama ndugu yangu. Gidi huyu mwanaume nilimpata akifanana na mwizi na nikamuosha na kumtengeneza na sasa anafanana MCA.”

Soma patanisho hii hapa:

Hiyo ikiwa patanisho bora zaidi mwaka wa 2019, tunaorodhesha patanisho zingine 9 zaidi.
2. 
3. 
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.