Wanansiasa na watu mashuhuri waliowahi kuhusika katika ajali

Kweli ajali haina Kinga na haibagui tajiri na maskini siku yako ikitimia huwezi ibadili. Hawa ni baadhi tu ya watu amshuhuri waliohusika katika ajali za barabarani na kuachwa na majeraha mabaya.

Mwai Kibaki

Rais Mustaafu Mwai Kibaki alihusika katika ajali mbaya ya barabarani siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2002. Kibaki ambaye alikuwa mgombea urais wa Narc katika uchaguzi mkuu dhidi ya mgombezi wa KANU Uhuru Kenyatta alisafirishwa ughaibuni kwa matibabu zaidi. Ajali hiyo ilimuacha na majeraha mabaya na hata baada ya kushinda uchaguzi Kibaki aliapishwa akiwa kwa kiti cha magurudumu.

1.Raphael Tuju

Tuju ni katibu mkuu wa chama cha jubilee hivi majuzi alihusika katika ajali alipokuwa safarini kuhudhuria mazishi ya rais mstaafu hayati Moi.

Habari za ajali yake zilitangazwa asubuhi na mapema na vyombo vya habari. Ilibidi ahamishiwe nchini Uingereza kwa matibabu zaidi.

Itakumbukwa kwamba Tuju pia alihusika katika ajali ya ndege mjini Busia maka 2003 abbda ya kuhudhuria hafla ya kuchaguliwa tena kwa aliyekuwa makamu wa rais Moody Awori. Alijuruhiwa sana na kusalia mkekakani kwa muda.

2.David Maraga

Jaji mkuu David alihusika katika ajali ya barabra wakiwa na mkewe, mwaka wa, 2018, Desemba katika eneo la Ngata kaunti ya Nakuru.

3.David Rudisha

Rudisha alikuwa anaelekea nyumbani kwao alipohusika katika ajali ya barabra, hii ni baada ya gurudumu la dari lake kutoa pumzi na gari kukosa mwelekea huku akiandika katika mtandao wa kijamii na kusema yupo sawa na Kkumshukuru Mola kwa kwa uhai wake.

Baada ya hapo rudisha alipelekwa hospitalini.

4.Nameless

Alihusika katika ajali alipokuwa akirudi nyumbani baada ya onyesho katika eneo la Nakuru na kuzungumzia kisa hicho na kusema,

"I DID NOT KNOW FROM THE TIME I WAS TAKEN TO HOSPITAL WHEN IT ALL HAPPENED. I WAS TOLD HE WAS IN A DIFFERENT HOSPITAL.

I HAD NO PHONE OR OTHER WAY OF REACHING HIM. MY BRO CAME FROM NAIROBI. I ASKED EVERYONE AND NO ONE TOLD ME." Alisema Nameless.

5. Millicent Wambui

MCA Wambui alihusika katika ajali ya barabarani mwaka wa 2017, aki nusurika pekee katika ajali na watu wanne kupoteza maisha yao.

6. Yussuf Hassan

Mbunge huyo wa Kamukunji alihusika katika ajali iliomuacha akiwa hali mahututi katika eneo la Eastleigh baada ya kutoka sala.

7.Richard Chacha

Mwanahabari Chacha alihusika katika ajali ya barabarani mwaka 2012. Ajali hiyo ilimuacha chacha na majeraha mabaya na kwa sasa hana uwezo wa kutembea.