PATANISHO: Mke Wangu Alidai Ni Maraga Pekee Anayeweza Kumrudisha Kwangu

Nicholas alituma ujumbe akiomba apatanishwe na mkewe mama Stano akidai walikosana jumamosi iliyopita kwa ajili ya dadake na akaondoka na kwenda kwao.

Dadake anaishi karibu na kwetu Sasa ikawa siku choo yangu ika block na mke wangu hakuwa. Sasa nikamtumia dadake ujumbe nikimweleza Kuna fundi anakuja kutengeneza na mke wangu hayuko. Hakujibu ile simu.

Nikapigia mke wangu kumuuliza kama yuko karibu kurudi nyumbani na akadai bado hajarudi, hapo nikamtumia dadake ujumbe tena na akakubali na alipofika nyumbani alimpata mke wangu amefika.

Sasa nilipomtumia ujumbe dadake ujumbe akalenga na hapo nikamtumia ujumbe wa hasira na kumbe alionesha mke wangu.

Siku iliyofuata nikamtumia dadake ujumbe nikimwambia kuwa twafaa kupatana tusuluhishe Yale maneno, kumbe alimuonesha mke wangu ule ujumbe na akanikasirikia.

Kurudi nyumbani nikapata mke wangu amefunganya virago na kuondoka.

Kumpigia simu akadai kwangu hatarudi labda nimuendee na maraga.

Pata uhondo kamili.

&feature=youtu.be