Patanisho: Na hisi nimetengana na bwanangu juu ya kutoweza kupata mtoto

Tulianza rasmi rasmi kitengo cha patanisho saa mbili unusu, ampbapo ujumbe aliyetuma ni Bi Rile ambaye alisema ndoa yake ya miaka kumi imesambaratika pale kwasabanabu hajaweza kubarikiwa na mtoto.

'Ameniacha baada ya miaka kumi. ilitokea lini. aliondoka mwezi wa kwanza akienda kazi, akaniacha kwa boma na sasa haji nyumbani tena, ni mwalimu na hadi sasa shule zimefunga na hajarudi. Nikimpigia simu ananiharakisha akisema niongee haraka. Lakini nimesikia tayari ameoa, na mkewe amejifungua. 

Tangu Januari sijamuona. Na anajuaje kwamba ni ile swala la mtoto limeleta hii shida yote?

wakati kabla atoke, kuna comments ambazo alifanya kwamba wakati wenzake a umri wake wanalipa school fees na yeye bado tuu kwa nyumba ananunua mkate ya watu wazima. 

Bi Rile angependa kujua nini kuhusu bwanake katika patanisho?

ok tunaongea kwa simu once in a while anaweza kuchukua simu lakini haongei kama vile mtu huongea na mke wake.

Alieleza Gidi ukweli wa mambo kupitia simu bwana Robert alisema

Inaeza kuwa shida ya mtoto nimekaa na this lady for ten years, na saa hizi kuna pressure from all corners na huu mrembo mimi nimempeleka hospitali ikapatikana yey ndiye akona shida na nimempeleka through IVF sessions mara tatu with various doctors na unaona hiyo kitu ilichukua almost 450,000 shillings sasa mi namwambia ukweli labda through radio jambo kwamba mimi niliamua kutafuta mke wa pili as much as I hated to do it to her.

Skiza kanda ifuatayo