Patanisho: Niliharibu kikoi cha bibi yangu akanikasirikia

Obilo kutoka Nyakwere aliomba kupatanishwa na mama Delvin aliyetoroka mwezi wa pili.

Sasa hivi ako nyumbani kwao. I was one of the lecturers in Homabay, so hakukuwa na nafasi ya kwenda nyumbani. so vile nilienda nyumbani, nilienda usiku hivi, na kupita hivi tena, nikapata simu, manager alikuwa ananiuliza ati nikowapi. so it forced me to go back the same same day, unfortunately I took hizi shuka za masai na hiyo ilikuwa yake, so from that day upto now we've not been in good terms. unfortunately when I was ironing my clothes ilichomeka Ilileta shida, mpaka ikabidi nikabuy mpya.

Je, bwana Obila anahakika ni hii shuka ambayo ilileta shida ua kuna jambo lingine?

'Sidhani ni hiyo hiyo tuu.

Tangu aende February, wameongea?

ehh kuongea tunaongeanga.

Anasema nini?

Kuna siku aliniambia nitarudi hata leo asubuhi nilimpigia, akaniongeleza tuu vizuri. Lakini mambo yake ya kurudi ni kama imekuwa balaa.

Na wamekaa kwa ndoa miaka ngapi?

4 years.

Je Gidi aliweza kurejesha uhusiano wao. Skiza kanda ifuatayo