Akieleza jinsi alivutwa kazi alikuwa na haya ya kusema;
"Nilimpa rafiki yangu gari la mwjiri wangu ambali ni la texi ili aweze kumfurahisha mpenzi wake, mambo hayakuenda vyema kwa sababu baada ya kumpa alionekana na mwajiri wangu na kisha akachukua pikipiki na kumfuataAlipowashika aliwashukisha rafiki yangu na msichana wake kwenye gari aliponipigia simu nilimwambia kwamba niko shughuli za kikazi
nataka nimuombe msamaha ili aweze nirudisha kazi, tangu hiyo siku sijui huyo jamaa alielenda wapi wala kama yuko na huyo msichana." Alieleza bwana huyo.
Mwajiri wake bwana Sylvester lipopigiwa simu naye alikuwa na haya ya kueleza kuhusu kesi hiyo.
"Huyu jamaa nimemuoonya mara nyingi sana awache kucheza na kazi lakini hakusikia kwa mara ya kwanza aliwapa marafiki zake gari nilipomuuliza aliniambia tu yuko kazini lakini nilikuwa nimeona gari langu likiwa na wasichanaAliporudisha gari nilimuuliza na kumsamehe, sasa mara ya pili alimpa rafiiki yake na nikaenda kuwashukisha katika gari langu
wacha kwanza atulie ajue maana ya kwanza nikifikiria tena naweza muita." Alisema Bwana Sylvester.
Je kama wewe mwajiriwa na mwajiri ushawahi pitia kitendo kaa hiki na ulifanya suluhu gani ili kusikizana na mwajiei au mwajiriwa wako?