Ogara amesema wanamzuilia Owino katika kituo hicho nab ado hajaandikisha taarifa .DCI imesema imapata risasi tisa na ganda moja la risasi katika eneo la tukio ."... Vyote vimewekwa kama ushahidi na vitachunguzwa na watalaam wa bunduki’ mkurugenzi wa DCI George Kinoti amesema .
https://twitter.com/DCI_Kenya/status/1218112033025077250?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1218112033025077250&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.the-star.co.ke%2Fnews%2F2020-01-17-babu-owinos-gun-used-in-kilimani-shooting-police%2F
Awali wakili wa Babu Cliff Ombeta amesema mteja wake alikaribiwa kwa njia ya kimabavu na mtu aliyemdhani kuwa rafiki yake na kusababisha purukushani . Amethibitisha kwamba bunduki ya Babu sasa imechukuliwa na polisi na mbunge huyo ana leseni yakuwa na bunduki . Wakili wake amesema tukio hilo sio la mauaji kwani mwathiriwa yungali anapokea matibabu hospitalini .