Pesa maua! Bridget Achieng afichua kitita alichotumia kubadili rangi

Screenshot.from.2019.11.14.11.37.52
Screenshot.from.2019.11.14.11.37.52

Kidosho huyu Bridget Achieng alisema kuwa tangu aanze kuchibua ngozi yake ametumia shilingi milioni 10.

Zaidi ya hayo, alisema kuwa hakuwa na pesa lakini alipopata pesa akaamua kuzitumia vizuri.

"I didn't have money and when I got it, I said I will buy Kenya, I'll buy the world. If I had more money, right now I'd have used 50 million," she said on her YouTube channel.

Achieng, aliyejifungua mtoto wake juzi bado anatarajia kupata watoto wengine zaidi.

https://www.instagram.com/p/BwiC_pzHZ2r/

 "My stomach was just cut the other day, I haven't healed. I'm not pregnant but I want a house full of babies. A football camp or a rugby team," alisema.
Hata hivyo, pasi na Bridget kutaka kuwa na watoto wengi hawezi kwa sababu alifanyiwa upasuaji hivyo basi hawezi jifungua watoto zaidi ya watatu.

"Unfortunately, I can only get four babies, and the fourth one is by God's grace. But because I gave birth through CS, I can only get three babies straight. So trust me, I'm gonna give you three babies."

Licha ya hayo, alisema kuwa mtoto wake Sekani aliacha kunyonya pindi tu baada ya kumpoteza mama yake.

"Sekani stopped breastfeeding when he was three months. I think due to my mum's death and stress, it made me lose milk. So my milk dried. So for the last few months, he does feed on breastmilk. Happy baby, happy mother."

Amini usaimini, Achieng alisema kuwa mpenzi wake ni mrembo zaidi kiasi ambacho hawezi weka picha yake waziwazi kwenye mtandao wa kijamii.

"He is one fine something. I call him Alejandro. I will post his picture once he accepts to be public," she said.

"He is too fine that I'm not about to handle the thunder you women want to bring my way. I'm not ready to show him to the world, but we will revisit."

Wacha tungoje kwa hamu na ghamu kwa ile siku ambayo Achieng atafichua sura ya mpenzi wake.