PICHA: Jinsi wakenya walivyosherehekea Krismasi

WAKENYA
WAKENYA
Waumini katika kanisa la Legio Maria African Mission church wahudhuria misa usiku wa kuamkia Krismasi katika eneo la Fort Jesus Nairobi, Kenya December 25, 2019.

PICHA: REUTERS

Watoto wajibamba katika bustani ya Uhuru katika siku kuu za Krismasi Nairobi, Kenya December 25, 2019.

PICHA: REUTERS

Wanakwaya waimba nyimbo za Krismasi katika kanisa la Holy Family Basilica Nairobi, Kenya December 25, 2019.

PICHA: REUTERS

Waumini katika kanisa la Legio Maria African Mission church wahudhuria misa usiku wa kuamkia Krismasi katika eneo la Fort Jesus Nairobi, Kenya December 25, 2019.

picha: REUTERS

Wakenya katika bustani ya Uhuru wakiendesha merry-go-round jana katika siku  kuu za Krismasi

PICHA: REUTERS

Mtoto arembeshwa uso Nairobi, Kenya December 25, 2019.

PICHA: REUTERS