Kuna wanaojibana katika misingi ya kikabila ,dini na tabaka

Ukabila katika ndoa,Je Mbona tumeingiza utabaka,ukabila na udini katika ndoa?+PodiyaYusufJuma

Mapenzi hayafai kujali mipaka kama hiyo

Muhtasari
  •  Ukabila haufai kuwa kigezo katika kaumua utakayemuoa au kuolewa naye 
  • Kuna dhana potovu kwamba watu wasio wa kabila moja hawawezi kufanikisha ndoa 
  • Tofauti za tamaduni na mila zinafaa kuchukuliwa kama uthabiti 

 

Podi:Yusuf Juma na Mutala Mukosia

 

Katika Podi ya leo,tunazama  kujadili mbona wakati mwingine watu wanajibana katika ufinyu wa ukabila au dini  au tabaka wakati wa kumchangua  mtu wa kuanza naye maisha kama mke na mume .

#PodiyaYusufJuma#YusufJuma Shirikiana,Wasiliana,Ungana au tangamana na Yusuf Juma Facebook:Yusuf Juma/Yusuf Juma-Kenya Instagram:@yusufjumaofficial Twitter:@YusufJumaKenya Email:yusufjuma86@gmail.com Youtube:Yusuf Juma-Kenya