Nadia Mukami na Arrow Bwoy waliripotiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi baada ya kuutoa wimbo wa Radio Love ambao ulitesa masafa sana. wakati huo baadhi ya mashabiki walifikiri wasanii hao walizidisha chumvi kuhusu mapenzi yao ili kupata mafanikio kimuziki .
Baadaye katika mahojiano na kituo kimoja cha Radio ,Nadia alikiri kwamba walifanya uhusiano wa mwaka mmoja lakini mambo hayakwenda ilivypangwa
I dated Arrow Bwoy for a year. But things didn’t work out.
Akizunguma kuhusu uhusiano wake na Msauti ,Nadia alisema wao ni marafiki tu
I have known Masauti for long. We have hustled together since and he is the one who linked me up with Marioo. He is my brother
Mukami kwa sasa ameekwa vichwa vya muziki kwa wimbo wake ‘Jipe’ na msanii wa Tanzania Marioo. Utazame wimbo huo.