Shirikisho la soka duniani Fifa limethibitisha kwamba rais wa shirikisho la sofa barani afrika Ahmad Ahmad amezuiliwa na maamlaka za ufaransa ili kuhojiwa .
Taarifa kutoka fifa imesema kuzuiliwa kwake ni kuhusiana na madai yanayohusiana na kazi yake katika caf .
Imeingeza kwamba ‘ Fifa haina maelezo kuhusu uchunguzi huo na hivyo basi haiwezi kutoa msimamo au matamshi yoyote kuhusu jambo fulani .
"Fifa inataka maamlaka za ufaransa kutoa maelezo yanayoweza kuwa muhimu kwa uchunguzi unaofanyika ndani ya kamati yake ya maadili .