RIP: Mtangazaji Mutahaba kufariki akipokea matibabu Afrika Kusini

Ni machozi na kifo kilicho wakumba familia ya mtangazaji maarufu Ruge Mutahaba, hii ni baada ya kumpoteza mwanahabari huyo akiwa katika matibabu nchini Afrika Kusini.

Mutahaba aliweza kupumua pumzi yake ya mwisho Jumanne akiwa katika hospitali moja mjini Afrika kusini.

Mtangazaji huyo maarufu alikuwa mwelekezi wa kipindi cha mikakati na mipango ya maendeleo (strategy and programme development) katika runinga ya Cloud Media Group.

Aliweza kufariki baada ya kupambana na ugonjwa wa kushindwa kwa figo kwa muda mrefu.

Wakati habari za kifo cha punde chake mwanahabari Ruge Mutahaba ziliweza kusambaa sana katika mitandao ya kijamii watu wanaofahamika na watu maarufu waliweza tuma rambirambi zao.

Rais John Pombe Maghufuli aliweza tuma rambirambi zake kwa familia kupitia mtandao wake wa kijamii wa twitter na kusema..

“I have received with shock information about the death of Ruge Mutahaba,” Aliandika Maghufuli. Aliweza kumjulisha Mutahaba kama kijana wake.

Haikuchukua muda mashabiki wasanii na marafiki zake waliweza pia kutuma rambirambi zao kupia mtandao huo.

@MariaSTsehai: Rest in peace our brother Ruge...Your contribution to the media industry has left an indelible mark!Pumzika kwa amani.