Kupitia kwa kanda iliyochapishwa katika mtandao wa Eric Omondi, Jaguar ambaye alikuwa ameenda kumtembelea rafikiye kwake nyumbani.
Akiwa humo, aliandaliwa staftahi na inaonekana hakuridhishwa na hapo akamrai Omondi amrudishe Chantal.
Omondi na Chantal walitengana mwaka huu mwezi wa Mei alipotangaza kuwa njia zilizowaleta wapendwa hao wawili, ziliwapa mielekeo tofauti.
Aliandika,
As you move into your new phase in life with or without me I want to wish you all the best My Love❤️…The paths that brought us together are now facing different directions. The post read in part.
Jaguar: Rudisha mama
Eric Omondi: Chai ilikuwaje bila mama?
Jaguar: Chai haiko lakini ahsante kwa breakfast, lakini tunaomba urudishe mama. Hata wewe sasa utanona, utaongeza weight ama utafute mtu, watu ni wengi.
Eric Omondi: Nitafute mtu ama mama arudi?
Jaguar: Mama arudi au utafute mtu
Tazama kanda hiyo
https://www.instagram.com/p/B3G0EJwAhXD/