Naibu gavana wa Kisumu Ruth Odinga ameagizwa na mahakama kumlipa mfanyibiashara mmoja shilingi 495,820 kwa kuharibu gari lake.
Bwana Rickham Muga alimshtaki Bi Odinga kwa kuharibu gari lake wakati magari yao yalipogongana juni tarehe moja mwaka wa 2013.