Kenya ilitoka nyuma mara mbili na kupata ushindi wa 3-2 kwenye mechi ya pili ya kundi C dhidi ya Tanzania.
Raila Odinga, baada ya kuwatia Moyo Harambee stars walipocharazwa na senegal alisema;
"What a splendid performance coupled with great composure coming from behind twice to deservedly win the game. Bravo! Kenyans are firmly rooting for you. All the best as you continue striving to qualify for the round of 16. Hongera
— Raila Odinga (@RailaOdinga)
Ruto:"Hearty congratulations to for beating Tanzania 3-2 and putting Kenya in contention for qualifying for the round of 16 at the . All the best as you prepare for the Senegal decider. Well in."
— William Samoei Ruto, PhD (@WilliamsRuto)
Sonko:
Gavana wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko aliongioza kundi la wakenya kwenda kuishabikia harambee stars kule Misri katika mechi yao dhidi ya Tanzania. Kwenye mtandao wake wa twitter sonko alisema,
"Congratulations for the hard-fought victory against our good neighbours Tanzania and well done Michael Olunga for winning man of the match in this encounter. Let's now focus on our next match against Senegal. "
— Mike Sonko (@MikeSonko)
Kalonzo: "Congratulations to Harambee Stars win againist Tanzania in the .Well done.We are all proud of you."
— Kalonzo Musyoka (@skmusyoka)
Willis Raburu,"OLUNGA My goodness!!! Danced your way to our hearts tonight! 👏👏👏👏🇰🇪🇰🇪🇰🇪 c
— Willis Raburu (@WillisRaburu)