Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni. Mbunge wa mtaa wa magharibi ya kenya alimtumia binti ujumbe mfupi kupitia mtandao wa kijamii wa WhatApp jumatatu na kumwomba picha zake.
Binti huyu alipokuwa akizungumza na mbunge huyu na kuumuliza mbunge kuhusu maoni yake ya matokeo ya uchaguzi wa kibra,mheshimiwa huyu alimjibu na kumwambia,
"Keep that for another day, tuma picha.''
Kabla ya mate kukauka,binti huyu alituma picha na mbunge huyu akabaki amezubaa kama mja aliyeyaona mabaki ya adamu na hawa kwani urembo wa binti huyu ulikuwa umekolea si kidogo.
Hivyo basi,mbunge huyu aliamua kumualika binti huyu kwa mkahawa ili wazumgumze na bila kusita binti akakubali.
Baada ya habari hizi kuenea,vurugu ilizuka na wengi kushangaa ni vipi vile mbunge huyu alipata cheo cha ubunge kwani mheshimiwiwa huyu hana uadilifu.
Je mambo yanageuka na kuwa vipi?