Vera alisadiki kuwa lugha yake ya mapenzi ni kutaka mwanaume kumhisi kila siku,kila mahali,na popote pale anapohitaji.
Vera na mpenzi wake huyo Jimmy Chansa palikuwepo na uvumi mkuwa wameachana baada ya kujivinjari wakiwa Mombasa na hata kukosa kutuma picha zao za mahaba katika mitandao yao.
Jimmy hata hivi alisema kuwa Vera alikuwa amemwacha bila ya ufahamu wake .
Katika ujumbe wakati kabla ya siku ya kusherehekea Valentino,Vera anamweleza mpenziwe kuwa yeye anapenda kutunzwa kama malkia.
Huu hapa ujumbe wenyewe.
“Love me an affectionate man. Always hold my hand, waist, give me forehead kisses, PDA. Just touch me anywhere and everywhere and I will be drowning in love,” Aliandika Vera
Hata hivyo Vera amekuwa akiwachanganya wafwasi wake haswa baada ya kuonekana na mwanamziki wa Nigeria Burnaboy ambaye walionekana pamoja katika hafla moja USA .