‘Sikujua nitangoja mtoto kwa miaka 7’ – Kambua asema anapoadhimisha siku ya harusi yake

Msanii wa gospel Kambua  ni kilelezo kwa jamii kuhusu jinsi ndoa inavyoweza kuwa taaasisi nzuri na kitovu cha kila kizuri katika jamii . Mama huyo wa  mtoto  mmoja  hivi maajuzi ameadhimisha miaka minane ya ndoa yake  kwa mumewe Jackson Mathu  katika ukurasa wake wa  Instagram .

Ndoa yao hata hivyo haijakuwa rahisi kwa ajili imechukua miaka saba  kwa  Kambua na mume wake kupata mtoto na Mola alijibu ombi lao .

Baada ya kupata mimba ya mtoto wao wa kwanza, Kambua sasa amekuwa  nuru kwa wanawake ambao wanataraji kuwa wazazi siku moja .

Ujumbe wake katika instagram ulisema hivi ;

Right after our wedding ceremony there was a heavy downpour (see the windows). It was magical! ⠀

I remember this day like it was yesterday, when the hubs and I exchanged vows. I remember my excitement and anxiety all interwoven into a beautiful tapestry that would be our future. ⠀

As with every wedding the ministers prayed and spoke blessings over us…blessed my womb, and spoke fruitfulness over us. And as an eager wide-eyed bride I said a resounding “Amen”! ⠀

What I did not know then, was that I would be sitting in ‘the waiting room’ for 7 years. 7! I would watch my friends have babies- one, then two, then five…! I would attend endless baby showers and first birthdays. In the waiting room I would walk with friends who were devastated at the ‘inconvenience’ of a badly timed pregnancy. Whoa. ⠀

I didn’t know how accustomed I would be to the ONE line on a pregnancy test. Empty arms, empty womb, empty heart

Kambua anaendelea kusema;

But then God healed me. He healed my heart and shifted my mind. He lifted my head even when mockery and shame arose. He remained the voice of truth. And after I had made my peace with him, that he would bless me in whichever way, at whatever time, then heaven moved. My name was called. I had been next in line and didn’t even know it! With hope and yes, alot of anxiety I exited the waiting room and became a mother. God has honored me in ways I can never fathom. Not by anything I did, but by His grace. ⠀

He is a God who loves us. He is faithful. He remains undefeated.