"Sina maringo wasee..."- Willy Paul

1629184
1629184
Staa mwenye utata Willy Paul amefunguka na kusema hana matatizo na mtu na yeyote. Katika mtandao wake wa Insta, nyota huyu amechapisha ujumbe kwa wafuasi wake na kudokeza kwamba yupo freshi.

https://www.instagram.com/p/Byp2GlAHn_h/

"Sina maringo wasee, ukiniona somewhere just say hi and ill hi back.. and maybe buy you something nice....." alisema Pozze.

Soma hadithi nyingine:

Muimbaji huyu anayetamba na nyimbo inayofanya vizuri katika mitandao ya kijamii, Hallelujah aliomshirikisha Nandy anazidi kupevuka kimuziki.

Pozze analenga zaidi soko la Tanzania kupitia collabo kubwa anazofanya na wasanii kama Rayvanny na Nandy.