Sponsor wangu ana chuma fupi ya doshi ,nikimwambia hanitoshelezi haskii hata! Asimulia Asha

Ancestor-sponsor-696x696
Ancestor-sponsor-696x696
Mwanamke kwa jina Asha amesimulia madhila anayopitia mikononi mwa sponsor wake kwa kile amesema ni kukose kumtosheleza kila mara wanaposhiriki ngono.

Asha amesema amekuwa akimshauri namna ya kusuluhisha tatizo hilo japo jamaa huyo hataki .

Mimi nimekuwa kwa uhusiano na sponosr wangu kwa miaka 8 sasa japo nampenda kwa dhati, shida ni kuwa nikimwarifu Chuma yake ya doshi ni fupi na hanitoshelezi hasikii kamwe. Sasa nimeshindwa kabisa nifanyaje mimi. Ameelezea Asha.

Ameongezea kuwa hata jamaa huyo anapokuwa anaisoma katiba wanapokuwa wamekutana, haisomi kwa muda jinsi anayokuwa anatarajia jambo ambalo sasa anasema linamfanya kuwa na hamu ya kutafuta mwanamume ambaye ataisoma katiba yake sawasawa.

Imagine hata nikimpatia katiba yangu aisome, anachukua kama dakika 30 hivi na kusema amechoka. Sasa sijui ni uzee ama nini. Tatizo hilo limenifanya nianze kuwazia kutafuta mwanamume mwingine ambaye atanilipua vizuri hadi nitosheke  vile ninavyotaka. Amesema Asha .

Amesema ushauri wake wa kutaka sponsor huyo wake kutafuta daktari ajaribu kumsaidia vile anavyoweza kuongeza Chuma ya doshi yake iwe kubwa ili imtosheleze umeambulia patubu.

Aki mimi nimekuwa nikimshauri twende hospitalini tuone kama madaktari wanaweza kutusaidia ili hata doshi yake iwe kubwa kama za wanaume wengine. Amebarikiwa mjulus mdogo ambao hata ukianza kazi mimi hakuna kitu nafeel. Alitokeza Asha.

Asha amesema kuwa upande wa kutuma pesa za matumizi kila siku jamaa huyo si shida kwake japo shida kubwa kwake ni udogo wa mjulus ambao umemkosesha raha miaka mingi.

He would send 5000$ (Ksh 500,000) kitu ambacho mimi sina shida nacho lakini hapo kwa doshi nooo, ni ndogo mno hata haina kitu ikiingia kwa kisima changu . Alisimulia Asha.

Je swala la mwanamume kuwa na Doshi ndogo katika mahusiano linaweza kuchangia uhusiano kuvunjika?