Pombe ya Bure:Jamaa wakimbilia kupora pombe baada ya lori la kubeba vileo kuanguka
Kabla ya hafla hiyo ,rais na naibu wake walionekana hadharanai pamoja disemba tarehe 19 wakati wa mkutano wa baraza la mawaziri . Kumekuwa na ripoti kwamba uhusiano kati yao umevurugika sana na huenda ushirikiano wao kisiasa umefika tamati . Naibu wa rais hata hivyo amekanusha hilo akisema yungali ana uhusiano mzuri na rais Kenyatta .
Akiwahutubia waumini katika kanisa hilo rais aliahidi kuendelea kushirikiana na kanisa katika kuihudumia jamii . Hatua yao ya kuhudhuria hafla moja iliwapata wakenya kwa ghafla kufuatia uvumi kwamba huenda urafiki wao wa karibu umeathiriwa kwa ajili ya mgawanyiko ulioshuhudiwa mwanzoni kuhusu siasa za mwaka wa 2022 na ripoti ya BBI . Mambo yalizidishwa wakati rais alipolifanyia mabadiliko baraza la mawaziri akiwa Mombasa bila kuandaman na naibu wake kama ilivokuwa ada wakati wa muhula wao wa kwanza .